tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Monday, May 16, 2016

Single

Eti ushawahi kuwa single hadi unajiuliza kwani ile mbavu yako ya kushoto iliyotolewa ilipikwa supu nin?!

Sex scene

Ushawahi kuwa nyumbani na wazazi mnaangalia movie halafu ghafla inatokea sex scene watu wanapigana mabusu wanarushana kitandani... Dingi anapagawa Ile kuua soo anakuuliza "Joshua? Ushapiga pasi GARI...!!!"
Nawe ulivyochanganyikiwa unajibu
"Umeme umekatika mzee..."

Saturday, May 14, 2016

Umezaliwa wapi?

Mtoto: Baba, kwani wee umezaliwa wapi?
Baba: Mbeya
Mtoto: na mama?
Baba: Tanga
Mtoto: na mimi?
Baba: Dar
Mtoto: sasa tumekutanaje?!