tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Friday, April 8, 2016

Faraja

Ukikaa ukitafakari kuna milio mingi saana duniani ya gitaa,kinanda,pikipiki,gari etc.....lakini ule mlio m1 wakati ATM inatoa fedha ule grrrrr grrrr hua una faraja saana moyoni.... Daah pesa huyu