tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Saturday, October 25, 2014

Wahehe

TANGAZO KWA WAHEHE WOTE:
Chuo kipya kabisa cha Kihehe kimefunguliwa Kihesa, Iringa.
(HEHE SKILLS AND TECHINICAL COLLEGE OF LIFE)

Kinatangaza kozi za mwaka 2015/2016 kama ifuatavyo,
1. Kugema ulanzi miezi 6
2. Kusokota kamba za kujinyonga miezi 9;
3. Kuchagua mbwa anaefaa kuliwa na mapishi yake miezi 8;
4. Kuongeza hasira miezi 10-12Atakae.
 jiunga mapema atapewa kozi ya upishi wa Mkunungu pamoja na uoshaji wa Mbeta.

Wasambaa

Wasambaa wanapenda sana kazi zao hasa udeeva (udereva). Ukimkuta msambaa msukuma mkokoteni muulize kazi yake utasikia mimi deeva.

Wazaramo

siri ya wazaramo kutopenda shule ni kutokana na wao kuzaliwa Da es salaamm hivyo hawaoni sababu ni kwa nini waende shule, bali wa kwenda shule ni watu wa mikoani sababu wao wanasoma ili waje Dar es Salaam.

utasikia wanasema

wazaramo: wewe unasoma uje darichalama, mie nisome niende wapi?


(wakati ule karibu kila kitu kilikuwa Dar, ajira Dar, Chuo Kikuu Dar, nk.)

Mfupi

Rafiki yake Jost ni mfupi mpaka akikaa kwenye kiti badala ya kukunja nne, yeye anakunja mbili