tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Tuesday, August 23, 2016

Chombo cha moto

Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na lessen sasa lakini nashangaa wauza kahawa hawawakamati wakati wanatembea na vyombo vya moto barabarani

Sunday, August 7, 2016

My x

Et jana nmemtext *X* wangu *Hi*...et aka update status whatsapp yake                        "I am happy without you"                           
wakati mie nlitaka kumwambia tuu nmemwona baba ake mjini kavaa koti langu... I WANT IT BACK.