tangazo one

tangazo one

Abidal

Abidal

karibuni

ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.

Wednesday, September 24, 2014

M-pesa na tigo pesa

Jost: Dada Mambo?
Chaupele: Powa.
Jost: Samahani, nimevutia na wewe nataka tuwe marafiki, Hivi Uko Facebook?
Chaupele: Hapana.
Jost: Twitter?
Chaupele: Sipo.
Jost: Whatsap?
Chaupele: Sipo.
Jost: Instagram?
Chaupele: Sipo.
Jost: Eeeeh Sasa upo kwenye mtandao gani sasa?
Chaupele: Niko M-pesa na tigo pesa.

Wednesday, September 17, 2014

huna uwezo wa kupata mimba

Binti mmoja aliamua kwenda kwa dakitari baada ya kuona hapati mimba, alipofika na baada ya vipimo.
Dakitari: binti inaonyesha wewe ni mgumba kwa hiyo huna uwezo wa kupata mimba.
Binti: jamaniii (huku akianza kutokwa na machozi).
Dakitari: usilie ngoja tujaribu kuangalia chanzo cha tatizo ni nini tuone kama kuna msaada.
Binti: naomba unisaidie.
Dakitari: usijali, lakini hili tatizo linaweza kuwa la kurithi, kwani mama yako aliwahi kuzaa?
Binti: sijui labda nikamuulize.
Dakitari: …………….

Binti:……………

Chaupele

Jost: mambo mrembo, mbona kimya?
Chaupele: unanitaka unagari lakini?
Jost: gari?
Chaupele: ndio gari.
Jost: sina gari.
Chaupele: basi acha kunifuata fuata hunifai
Jost: vipi kwani we unalo?
Chaupele: sina gari.
Jost: una sehemu ya kuosha magari au garage?
Chaupele: sina
Jost: baba yako analo gari?
Chaupele: Hana gari.
Jost: sasa wewe mazoea ya kupanda gari umeyatoa wapi?

Chaupele: nyooooo….. mbwa weee unikome!

baba ni mbahili sana

Baba alikuwa na tabia ya kulala na dada wa kazi, siku moja mtoto wake wa kiume akamfumania:
Baba: Mwanangu, ebu chukua hii Shs 500 halafu usimuambie mama yako kuwa nimelala na dada.

Mtoto: sitaki, we baba ni mbahili sana, mbona mama akilala na mlinzi ananipaga Shs. 1,000?