tangazo one
Abidal
karibuni
ni mara chache sana tunapata muda wa kujiuliza juu ya umuhimu wa watu waliotuzunguka, na maisha yetu yangekuwaje bila wao? wape nafasi na usisite kuwaambia jinsi unavyojisikia juu yao na umuhimu wao kwako. ASANTE KWA KUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU.
Monday, March 28, 2011
safari ya kwenda kwa babu
Hakuna zawadi nzuri kipindi hichi kama kumzawadia mtu safari ya kwenda kwa babu, lakini mimi nakuzawadia safari ya kwenda kijijini kwa babu yako. maana umesahau kama na wewe unababu, ukisikia jina babu tu tiyari unamuwaza wa loliondo tu.
inawezekana kutabiri jambo la mbele
Mwalimu aliuliza darasani, "inawezekana kutabiri jambo la mbele?"
Mtoto mmoja akajibu, "ndio! Mama huwa akiangalia daftari langu la hesabu huniambia, subiri baba yako arudi uone."
Mtoto mmoja akajibu, "ndio! Mama huwa akiangalia daftari langu la hesabu huniambia, subiri baba yako arudi uone."
Tunahifadhi mambo ya zamani
Jamaa mmoja akipiga simu ofisi ya Makumbusho ya Taifa: "Haloo, hapo ni Makumbusho ya Taifa?"
OFISI: "Ndio, tukusaidie nini?"
JAMAA: "Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"
OFISI: "Pumbavu! Hiyo sio kazi yetu..!"
JAMAA: "Sasa makumbusho mnakumbusha nini?" OFISI: "Tunahifadhi mambo ya zamani."
JAMAA: "Ahaa... kumbe saa yangu mtakuwa nayo..!"
OFISI: "Ndio, tukusaidie nini?"
JAMAA: "Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"
OFISI: "Pumbavu! Hiyo sio kazi yetu..!"
JAMAA: "Sasa makumbusho mnakumbusha nini?" OFISI: "Tunahifadhi mambo ya zamani."
JAMAA: "Ahaa... kumbe saa yangu mtakuwa nayo..!"
akija na mananasi
Jamaa watatu walikuwa wakisafiri kupitia kwenye msitu mnene na kwa bahati mbaya wakakutana na majitu yanayokula watu na yakawakamata. Yale majitu yakawaambia 'sisi tuna mtihani ambao ukifaulu tunakuacha uende zako, la ukishindwa unaliwa.'
Basi yale majitu yakawatuma msituni wakiwa chini ya ulinzi kukusanya kila mmoja wao matunda kumi ya mti watakaochagua.
Baada ya muda mfupi mmoja wao akawa amefanikiwa kurudi na matunda aina ya Apple. Akaambiwa mtihani mlionao ni kuhakikisha kuwa unakula matunda yote kumi kwa kumeza bila kutafuna, moja moja lakini usionyeshe hisia yeyote katika uso wako.
Yule aliyekuja na apple akaogopa mno lakini akajizuia kuonyesha hofu yake, wakati huo huo yule wa pili akawa anakuja na matunda yake mkononi aina ya rasberry ambayo ni madogo na hayana kokwa. Yule wa kwanza alipoweka apple mdomoni kwake lilimzidi kinywa na hivyo akagugumia maumivu kwa hiyo akaliwa mara moja.
Huyu wa pili kuona hivyo akazuia hisia zake za hofu kubwa na akapewa mtihani ule ule wa kula matunda hayo moja baada ya jingine. Kutokana na udogo wa matunda hayo na kuwa hayana kokwa ndani alikula bila matatizo mpaka tunda la tisa.
Alipofika tunda la tisa akaangua kicheko kikubwa mno kwa ghafla hivyo na yeye akaliwa mara moja.
Mara wakajikuta wako ahera yule wa kwanza na wa pili. Yule wa wa kwanza akashangaa sana na kumuuliza 'imekuwaje wewe umeshindwa kula vile vijitunda?' Huyu wa pili akajibu na kusema ' nilimwona jamaa yetu wa tatu akija na mananasi'
Tofauti kati ya Wahehe na Wasambaa
Tofauti yetu kubwa kati ya Wahehe-Iringa na Wasambaa-Tanga ni kuwa wahehe wao ni 'nakusage sambi sako mwenyewe' afu unapiga mtama ndo unamaliza mambo wakati wasambaa ni kuwa wakati unamvua binti nguo upande huu,binti huwa anakataa kata kata huku akikusaidia kuvua upande wa pili,yaani kazi kweli kweli!
Monday, March 7, 2011
mtihani alofanya mtoto wa kihindi
Hii ilikutwa kwenye mtihani alofanya mtoto wa kihindi wakati akijibu
maswali ya methali
swali; bandu bandu.....
Jibu: Iko dugu yake patel iko nakaa bombay
swali: Mtaka cha uvunguni......
Jibu: Iko na binua tanda
swali: Simba mwenda pole....
Jibu: Iko fungwa na yanga
swali; simba akinguruma...
Jibu: Yanga yote nakimbia
swali: Zimwi likujualo....
Jibu: Iko fata veve hadi jumbani yako
maswali ya methali
swali; bandu bandu.....
Jibu: Iko dugu yake patel iko nakaa bombay
swali: Mtaka cha uvunguni......
Jibu: Iko na binua tanda
swali: Simba mwenda pole....
Jibu: Iko fungwa na yanga
swali; simba akinguruma...
Jibu: Yanga yote nakimbia
swali: Zimwi likujualo....
Jibu: Iko fata veve hadi jumbani yako
Problems with my new computer
Letter from Jost to Mr. Bill Gates
Subject: Problems with my new computer
Dear Mr. Bill Gates,
We have bought a computer for our home and we have found some
problems, which I want to bring to your notice.
1. There is a button 'start' but there is no 'stop' button. We request
you to check this.
2. One doubt is whether any 're -scooter' is available in system? I
find only 're-cycle', but I own a scooter at my home.
3. There is 'Find' button but it is not working properly. My wife lost
the door key and we tried a lot trace the key with this 'find' button,
but was unable to trace. Please rectify this problem.
4. My child learnt 'Microsoft word' now he wants to learn 'Mi crosoft
sentence', so when you will provide that?
5. I bought computer, CPU, mouse and keyboard, but there is only one
icon which shows 'My Computer': when you will povide the remaining
items?
6. It is surprising that windows says 'MY Pictures' but there is not
even a single photo of mine. So when will you keep my photo in that
7. There is 'MICROSOFT OFFICE' what about 'MICROSOFT HOME' since I use
the PC at home only
8. You provided 'My Recent Documents'. When you will provide 'My Past
Documents'?
9. You provide 'My Network Places'. For God sake please do not provide
'My Secret Places'. I do not want to let my wife know where I go after
my office hours.
10. Last one to Mr. Bill Gates: Sir, how is it that your name is Gates
but you are selling WINDOWS...?
Subject: Problems with my new computer
Dear Mr. Bill Gates,
We have bought a computer for our home and we have found some
problems, which I want to bring to your notice.
1. There is a button 'start' but there is no 'stop' button. We request
you to check this.
2. One doubt is whether any 're -scooter' is available in system? I
find only 're-cycle', but I own a scooter at my home.
3. There is 'Find' button but it is not working properly. My wife lost
the door key and we tried a lot trace the key with this 'find' button,
but was unable to trace. Please rectify this problem.
4. My child learnt 'Microsoft word' now he wants to learn 'Mi crosoft
sentence', so when you will provide that?
5. I bought computer, CPU, mouse and keyboard, but there is only one
icon which shows 'My Computer': when you will povide the remaining
items?
6. It is surprising that windows says 'MY Pictures' but there is not
even a single photo of mine. So when will you keep my photo in that
7. There is 'MICROSOFT OFFICE' what about 'MICROSOFT HOME' since I use
the PC at home only
8. You provided 'My Recent Documents'. When you will provide 'My Past
Documents'?
9. You provide 'My Network Places'. For God sake please do not provide
'My Secret Places'. I do not want to let my wife know where I go after
my office hours.
10. Last one to Mr. Bill Gates: Sir, how is it that your name is Gates
but you are selling WINDOWS...?
tumeokota mtoto wa kichina
Kuna siku polisi wawili wa kiTZ katika matembezi yao waliokota mtoto
wa mwezi mmoja mwenye sura ya kichina.Wakashauriana nini cha kufanya
na kupata jibu.Kesho yake asubuhi wakaenda kwenye chuo kimoja
kinachotoa mafunzo ya lugha mbalimbali na mahojiano yalikuwa hivi:
polisi; tunahitaji kujifunza lugha ya kichina.
Mwalimu:kwa nini mmeamua kujifunza kichina.
Polisi: tumeokota mtoto wa kichina hivyo tunataka akianza kuongea
tuweze kumuelewa anachosema.
wa mwezi mmoja mwenye sura ya kichina.Wakashauriana nini cha kufanya
na kupata jibu.Kesho yake asubuhi wakaenda kwenye chuo kimoja
kinachotoa mafunzo ya lugha mbalimbali na mahojiano yalikuwa hivi:
polisi; tunahitaji kujifunza lugha ya kichina.
Mwalimu:kwa nini mmeamua kujifunza kichina.
Polisi: tumeokota mtoto wa kichina hivyo tunataka akianza kuongea
tuweze kumuelewa anachosema.
Sunday, February 6, 2011
Nani Mwoga?
siku moja mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga kuliko mwenzie, mume akasema mke ndio muoga zaidi na mke akasema mume ndio muoga zaidi. wakaamua kuwauliza watoto wao.
Baba: jamani kati yangu mimi na mama yenu nani muoga zaidi?
Mtoto wa kwanza: mama ndio muoga kwa sababu anaogopa hata kutoka nje usiku baba akiwa amesafiri.
Mtoto wa pili: mimi naona baba ndio muoga zaidi, maana anaogopa hata kulala peke yake mama akiwa amesafiri anamuita dada (msichana wa kazi) analala nae hadi asubuhi.
Baba: jamani kati yangu mimi na mama yenu nani muoga zaidi?
Mtoto wa kwanza: mama ndio muoga kwa sababu anaogopa hata kutoka nje usiku baba akiwa amesafiri.
Mtoto wa pili: mimi naona baba ndio muoga zaidi, maana anaogopa hata kulala peke yake mama akiwa amesafiri anamuita dada (msichana wa kazi) analala nae hadi asubuhi.
Fundi Bomba.
fundi bomba alikuwa akitengeneza bomba la bafuni nyumbani kwa Zena. Zena akamfuata na kumwambia "naweza kuoga wakati wewe ukila chakula cha mcahana?"
Fundi akajibu: "bila shaka unaweza, ila tahadhari maji yasiingie kwenye chakula changu.
Fundi akajibu: "bila shaka unaweza, ila tahadhari maji yasiingie kwenye chakula changu.
lina habari motomoto
Jonh alinunua gazeti na kwenda nalo nyumbani Asha, alipo fika akaliweka kwenye friji. Asha akashangazwa na jambo hilo na kuamua kumuuliza Jonh, "mbona umeweka gazeti kwenye friji?"
Jonh: "wameandika lina habari motomoto, acha zipoe kidigo nizisome.
Jonh: "wameandika lina habari motomoto, acha zipoe kidigo nizisome.
Yesu Wangu
Mapadre wa kanisa moja walikuwa wanasafiri kwa basi lakini kabla ya kuanza safari yao kiongozi wao akawaambia , "mkiona mwanamke amevaa vibaya, anatembea kwa mwendo wa majaribu wa kishetani, msimwangalie sana bali mtake msaada wa Bwana kwa kusema 'Yesu Wangu'".
Safari ikaanza, baada ya dakika kadhaa padre mmoja akasema "Yesu Wangu". wenzake wote wakajeuka wakitizama nje na kumuuliza, "yupo wapi?"
Safari ikaanza, baada ya dakika kadhaa padre mmoja akasema "Yesu Wangu". wenzake wote wakajeuka wakitizama nje na kumuuliza, "yupo wapi?"
Monday, January 24, 2011
Sehemu gani ya mwili mtu akifa inaenda mbinguni?
Mwalimu aliuliza swali wanafunzi wa chekechea wakawa wanajibu.
Mwalimu: Sehemu gani ya mwili mtu akifa inaenda mbinguni?
Mwanafunzi 1: Roho ndio inaenda.
Mwanafunzi 2: Moyo.
Mwanafunzi 3: Miguu.
Mh! Mwalimu alistuka akauliza "enhe kwa nini miguu?"
Mwanafunzi wa 3 akajibu...
"Jana nliona mama kanyoosha miguu juu uku akisema "oh God am coming...
Huku baba kamlalia juu asiende"
Mwalimu: Sehemu gani ya mwili mtu akifa inaenda mbinguni?
Mwanafunzi 1: Roho ndio inaenda.
Mwanafunzi 2: Moyo.
Mwanafunzi 3: Miguu.
Mh! Mwalimu alistuka akauliza "enhe kwa nini miguu?"
Mwanafunzi wa 3 akajibu...
"Jana nliona mama kanyoosha miguu juu uku akisema "oh God am coming...
Huku baba kamlalia juu asiende"
utaendelea kuitwa Punda hivyo hivyo
Siku moja punda alienda kwa SIMBA 'mfalme wa mbuga' kushitaki wenziwe
wanaomcheka na kumuita PUNDA, jina hili la punda hakulipenda kabisa
kwa sababu wenziwe wanasema jina hilo ni kwa ujinga mwingi alonao huyo
punda ndipo akaitwa punda. Mazungumzo yao yakawa hivi:
Simba: Wacha nikupe mtihani mdogo kupima akili yako kama kweli wewe ni
mjanja na mwerevu kama wenzio, ukishinda mtihani huu nitakubadili jina
na kukuita Farasi.
Punda: Nipime ujanja wangu na utanikuta ni mwerevu sana kushinda
wenzangu.
Simba: Sawa, sasa nenda mbiooooo mpaka nyumbani kwangu ukaniangalie
nipo huko au sipo nyumbani mwangu? Halafu urudi unipe jibu.
Punda: Kazi rahisi sana hiyo, nisubiri hapa nakuja sasa hivi.
Basi bwana Punda akatoka mbio hadi kwa nyumbani kwa mfalme kwenda
kumwangalia kama yupo.
Kweli Punda zuzu, sasa anakwenda kumwangalia nani wakati mfalme
mwenyewe amemuacha njiani.
Aliporudi mambo yakawa hivi:
Simba: Enhee vipi umenikuta?
Punda: Mh! Haupo.
Simba: Basi kama ndivyo, utaendelea kuitwa Punda hivyo hivyo kutokana
na akili yako ndogo. Sasa umekwenda kwangu kunitafuta vipi wakati
umeniacha hapa? Haya potea hapa haraka sana, Punda wewe! Kuanzia hapo
jina la Punda linabaki kuwa hivyo hivyo!!!
wanaomcheka na kumuita PUNDA, jina hili la punda hakulipenda kabisa
kwa sababu wenziwe wanasema jina hilo ni kwa ujinga mwingi alonao huyo
punda ndipo akaitwa punda. Mazungumzo yao yakawa hivi:
Simba: Wacha nikupe mtihani mdogo kupima akili yako kama kweli wewe ni
mjanja na mwerevu kama wenzio, ukishinda mtihani huu nitakubadili jina
na kukuita Farasi.
Punda: Nipime ujanja wangu na utanikuta ni mwerevu sana kushinda
wenzangu.
Simba: Sawa, sasa nenda mbiooooo mpaka nyumbani kwangu ukaniangalie
nipo huko au sipo nyumbani mwangu? Halafu urudi unipe jibu.
Punda: Kazi rahisi sana hiyo, nisubiri hapa nakuja sasa hivi.
Basi bwana Punda akatoka mbio hadi kwa nyumbani kwa mfalme kwenda
kumwangalia kama yupo.
Kweli Punda zuzu, sasa anakwenda kumwangalia nani wakati mfalme
mwenyewe amemuacha njiani.
Aliporudi mambo yakawa hivi:
Simba: Enhee vipi umenikuta?
Punda: Mh! Haupo.
Simba: Basi kama ndivyo, utaendelea kuitwa Punda hivyo hivyo kutokana
na akili yako ndogo. Sasa umekwenda kwangu kunitafuta vipi wakati
umeniacha hapa? Haya potea hapa haraka sana, Punda wewe! Kuanzia hapo
jina la Punda linabaki kuwa hivyo hivyo!!!
Shuka nikumeze
Mama mmoja alikuwa akiishi ghorofani peke yake lakini alikuwa muoga
sana . Siku moja asubuhi wakati anashuka kuelekea chini akasikia sauti
ikisema, Shuka nikumeze! Shuka nikumeze!
Mh! Yule mama kusikia vile moyo ukaanza kumwenda mbio akijua kwamba
kuna jitu kubwa ambalo ndilo linalomwambia hivyo na kwamba kweli
akishuka litammeza.
Basi akaamua kupiga simu polisi ili waje wamsaidie. Haikupita muda
polisi wakafika nyumbani kwa yule mama wakiwa wamejikoki vizuri huku
wakiwa na silaha nzito.
Cha ajabu sasa walipofika wakakutana na kichaa mmoja mdogo kadhoofika
akiwa amelala chini ya lile ghorofa, kamasi zikimtoka mithili ya dawa
ya mswaki iliyominywa huku akiimba Shuka nikumeze! Shuka nikumeze,
akimaanisha kamasi zishuke azimeze!
sana . Siku moja asubuhi wakati anashuka kuelekea chini akasikia sauti
ikisema, Shuka nikumeze! Shuka nikumeze!
Mh! Yule mama kusikia vile moyo ukaanza kumwenda mbio akijua kwamba
kuna jitu kubwa ambalo ndilo linalomwambia hivyo na kwamba kweli
akishuka litammeza.
Basi akaamua kupiga simu polisi ili waje wamsaidie. Haikupita muda
polisi wakafika nyumbani kwa yule mama wakiwa wamejikoki vizuri huku
wakiwa na silaha nzito.
Cha ajabu sasa walipofika wakakutana na kichaa mmoja mdogo kadhoofika
akiwa amelala chini ya lile ghorofa, kamasi zikimtoka mithili ya dawa
ya mswaki iliyominywa huku akiimba Shuka nikumeze! Shuka nikumeze,
akimaanisha kamasi zishuke azimeze!
Subscribe to:
Posts (Atom)